Waebrania 12:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Jihadharini ili miongoni mwenu pasiwe na mtu mwasherati au mtu asiyemcha Mungu kama Esau, aliyeuza haki yake ya mzaliwa wa kwanza kwa mlo mmoja.

Waebrania 12

Waebrania 12:14-19