Waebrania 12:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Jitahidini sana mtu yeyote asije akapoteza neema ya Mungu. Muwe waangalifu ili mti mchungu usizuke kati yenu na kuwaua wengi kwa sumu yake.

Waebrania 12

Waebrania 12:10-20