Waebrania 10:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Kumbukeni yaliyotokea siku zile za kwanza mlipoangaziwa mwanga wa Mungu. Ingawa siku zile mlipatwa na mateso mengi, nyinyi mlistahimili.

Waebrania 10

Waebrania 10:31-39