Waebrania 10:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Kwa hiyo tumkaribie Mungu kwa moyo mnyofu na imani timilifu, kwa mioyo iliyotakaswa kutokana na dhamiri mbaya, na kwa miili iliyosafishwa kwa maji safi.

Waebrania 10

Waebrania 10:16-24