Waamuzi 8:33 Biblia Habari Njema (BHN)

Mara baada ya kifo cha Gideoni, Waisraeli wakairudia miungu ya Baali na kuiabudu. Wakamfanya Baal-berithi kuwa mungu wao.

Waamuzi 8

Waamuzi 8:31-35