Waamuzi 8:32 Biblia Habari Njema (BHN)

Gideoni, mwana wa Yoashi, akafariki akiwa na umri mkubwa, akazikwa katika kaburi la Yoashi, baba yake, kwenye mji wa Ofra wa Wabiezeri.

Waamuzi 8

Waamuzi 8:31-35