Waamuzi 6:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakazi wa mji wakamjia Yoashi, wakamwambia, “Mtoe mwanao tumuue, maana ameharibu madhabahu ya Baali na kuivunja sanamu ya Ashera iliyokuwa karibu nayo.”

Waamuzi 6

Waamuzi 6:21-40