Waamuzi 6:29 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakaulizana, “Nani amefanya jambo hili?” Walipofanya uchunguzi wakagundua kwamba Gideoni mwana wa Yoashi ndiye aliyekuwa amefanya hayo.

Waamuzi 6

Waamuzi 6:28-37