Waamuzi 19:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Ninaye bado binti yangu ambaye ni bikira na yupo pia yule suria wa mgeni wangu. Niruhusuni niwatoe nje, muwachukue na kuwatendea kama mnavyotamani; lakini mtu huyu msimtendee jambo hilo la kipumbavu.”

Waamuzi 19

Waamuzi 19:17-30