Waamuzi 19:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini huyo mzee mwenye nyumba akatoka nje, akawaambia “Sivyo ndugu zangu; nawasihi msitende uovu huo. Huyu ni mgeni wangu, hivyo msimtendee ubaya huo.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:19-28