Waamuzi 19:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini suria huyo akamkasirikia; huyo Mlawi, akamwacha na kurudi nyumbani kwa baba yake huko Bethlehemu, akakaa kwa muda wa miezi minne.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:1-12