Waamuzi 19:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati huo ambapo hapakuwepo na mfalme katika Israeli, kulikuwa na Mlawi fulani aliyeishi kama mgeni mbali katika eneo la milima ya Efraimu. Mtu huyo alichukua suria kutoka Bethlehemu nchini Yuda.

Waamuzi 19

Waamuzi 19:1-11