Waamuzi 14:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, akapakua asali kwa mikono yake akawa anakula huku akiendelea na safari yake. Aliporudi kwa wazazi wake, akawapa asali kidogo nao wakala. Lakini hakuwaambia kwamba alitoa asali hiyo ndani ya mzoga wa simba.

Waamuzi 14

Waamuzi 14:6-15