Waamuzi 14:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Baada ya siku chache alirudi huko Timna kumchukua huyo msichana. Alipokuwa njiani akageuka pembeni kuuona mzoga wa yule simba, na kumbe kulikuwa na nyuki ndani ya mzoga na asali.

Waamuzi 14

Waamuzi 14:1-11