Ufunuo 8:1-2 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Na Mwanakondoo alipouvunja mhuri wa saba, kukawa kimya mbinguni kwa muda wa nusu saa.

2. Kisha, nikawaona wale malaika saba wanaosimama mbele ya Mungu wamepewa tarumbeta saba.

Ufunuo 8