Ufunuo 9:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, malaika wa tano akapiga tarumbeta yake. Nami nikaona nyota iliyokuwa imeanguka juu ya nchi kutoka mbinguni. Nayo ikapewa ufunguo wa shimo la kuzimu.

Ufunuo 9

Ufunuo 9:1-4