Ufunuo 21:16 Biblia Habari Njema (BHN)

Mji wenyewe ulikuwa wa mraba, upana na urefu wake sawa. Basi, malaika akaupima mji huo kwa kijiti chake: Ulikuwa na urefu, upana na kimo cha kama kilomita 2,400.

Ufunuo 21

Ufunuo 21:9-18