Ufunuo 21:15 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, yule malaika aliyekuwa anasema nami alikuwa na kijiti cha dhahabu cha kupimia, kwa ajili ya kuupima huo mji, milango yake na kuta zake.

Ufunuo 21

Ufunuo 21:6-19