Ufunuo 19:12 Biblia Habari Njema (BHN)

Macho yake ni kama mwali wa moto, na alikuwa amevaa taji nyingi kichwani. Alikuwa ameandikwa jina ambalo hakuna mtu alijuaye isipokuwa tu yeye mwenyewe.

Ufunuo 19

Ufunuo 19:5-13