Ufunuo 19:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, nikaona mbingu zimefunguliwa; na huko alikuwako farasi mmoja mweupe, na mpandafarasi wake aliitwa “Mwaminifu” na “Kweli”. Huyo huhukumu na kupigana kwa ajili ya haki.

Ufunuo 19

Ufunuo 19:3-20