Ufunuo 15:8 Biblia Habari Njema (BHN)

Hekalu likajaa moshi uliosababishwa na utukufu na nguvu ya Mungu, na hakuna mtu aliyeweza kuingia hekaluni mpaka mwisho wa mabaa saba ya wale malaika saba.

Ufunuo 15

Ufunuo 15:3-8