Ufunuo 15:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha, mmojawapo wa wale viumbe wanne akawapa hao malaika saba mabakuli ya dhahabu yaliyojaa ghadhabu ya Mungu, aishiye milele na milele.

Ufunuo 15

Ufunuo 15:3-8