Ufunuo 14:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nikasikia sauti kutoka mbinguni, sauti iliyokuwa kama ya maji mengi na kama ya ngurumo kubwa. Sauti niliyosikia ilikuwa kama sauti ya wachezaji muziki wakipiga vinubi vyao.

Ufunuo 14

Ufunuo 14:1-7