Mwanzo 46:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Huko Misri, Asenathi, binti Potifera, aliyekuwa kuhani wa mji wa Oni, alimzalia Yosefu wana wawili: Manase na Efraimu.

Mwanzo 46

Mwanzo 46:19-22