Mwanzo 40:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Wakati fulani baada ya mambo hayo, maofisa wawili wa mfalme wa Misri walimkosea mfalme. Maofisa hao walikuwa mtunza vinywaji mkuu na mwoka mikate mkuu wa mfalme.

Mwanzo 40

Mwanzo 40:1-4