Mwanzo 39:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Huyo mkuu wa gereza hakujishughulisha tena na kitu chochote alichokabidhiwa Yosefu kwa maana Mwenyezi-Mungu alikuwa pamoja na Yosefu na kufanikisha kila kitu alichofanya.

Mwanzo 39

Mwanzo 39:20-23