Mwanzo 33:11 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, nakuomba uikubali zawadi niliyokuletea, kwa sababu hata mimi pia Mungu amenineemesha, nami ninayo mali nyingi.” Ndivyo Yakobo alivyomshawishi Esau, naye akaipokea zawadi yake.

Mwanzo 33

Mwanzo 33:7-17