Mwanzo 33:10 Biblia Habari Njema (BHN)

Yakobo akamwambia, “La! Kama kweli umekubali kunipokea, basi, nakusihi uipokee zawadi yangu. Hakika, kuuona uso wako ni kama kuuona uso wa Mungu, kwa vile ulivyonipokea kwa wema mkubwa.

Mwanzo 33

Mwanzo 33:5-15