Mwanzo 32:7 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Yakobo akaogopa sana na kufadhaika. Akawagawa katika makundi mawili watu waliokuwa pamoja naye, kondoo, mifugo mingine na ngamia,

Mwanzo 32

Mwanzo 32:3-13