Mwanzo 32:6 Biblia Habari Njema (BHN)

Hao wajumbe walikwenda, kisha wakarudi na kumwambia Yakobo, “Tumefika kwa ndugu yako Esau, naye yuko njiani kuja kukulaki, akiwa na watu 400.”

Mwanzo 32

Mwanzo 32:1-16