Mwanzo 31:35 Biblia Habari Njema (BHN)

Ndipo Raheli akamwambia baba yake, “Samahani baba, usiudhike, kwani siwezi kusimama mbele yako kwa sababu nimo katika siku zangu.” Basi, Labani akavitafuta vinyago vya miungu yake, lakini hakuvipata.

Mwanzo 31

Mwanzo 31:33-44