Mwanzo 31:34 Biblia Habari Njema (BHN)

Raheli alikuwa amevichukua hivyo vinyago, akavificha chini ya matandiko ya ngamia na kuketi juu yake. Labani akavitafuta katika hema lote; lakini hakuvipata.

Mwanzo 31

Mwanzo 31:30-41