Mwanzo 31:25 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, Labani akamfikia Yakobo. Wakati huo Yakobo alikuwa amepiga kambi yake milimani. Labani naye, pamoja na ndugu zake, akapiga kambi yake kwenye milima ya Gileadi.

Mwanzo 31

Mwanzo 31:23-31