Mwanzo 31:24 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini usiku, Mungu akamtokea Labani, Mwaramu, katika ndoto, akamwambia, “Jihadhari! Usimwambie Yakobo neno lolote lile, jema au baya.”

Mwanzo 31

Mwanzo 31:20-30