Mwanzo 25:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Mimba hiyo ilikuwa ya mapacha. Watoto hao wakashindana tumboni mwake Rebeka, naye akasema, “Kama hivi ndivyo mambo yalivyo, ya nini kuishi?” Basi, akaenda kumwuliza Mwenyezi-Mungu.

Mwanzo 25

Mwanzo 25:15-23