Mwanzo 18:31 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu akasema, “Nimethubutu kuzungumza na Bwana. Labda watapatikana watu wema ishirini.” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Kwa ajili ya hao ishirini, sitauangamiza.”

Mwanzo 18

Mwanzo 18:26-33