Mwanzo 18:30 Biblia Habari Njema (BHN)

Abrahamu akaongeza kusema, “Ee Bwana, naomba usinikasirikie, nami nitasema tena. Huenda wakapatikana watu wema thelathini.” Mwenyezi-Mungu akamjibu, “Sitafanya hivyo nikiwakuta hao thelathini.”

Mwanzo 18

Mwanzo 18:22-33