Mhubiri 6:3 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtu akiweza kuzaa watoto 100, na akaishi maisha marefu, lakini kama mtu huyo hafurahii maisha yake, wala hafanyiwi mazishi basi nasema mtoto aliyezaliwa amekufa ni afadhali kuliko mtu huyo.

Mhubiri 6

Mhubiri 6:1-12