Mhubiri 6:2 Biblia Habari Njema (BHN)

Mungu humjalia mtu utajiri, mali na heshima, asitindikiwe kitu chochote anachotamani, lakini hampi uwezo wa kuvifurahia vitu hivyo; badala yake, mgeni fulani atavifaidi. Hilo nalo ni bure kabisa; ni jambo la mateso makali.

Mhubiri 6

Mhubiri 6:1-3