Mhubiri 3:1-3 Biblia Habari Njema (BHN)

1. Kila kitu kina majira yake,kila jambo duniani lina wakati wake:

2. Wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa;wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna kilichopandwa;

3. wakati wa kuua na wakati wa kuponya;wakati wa kubomoa na wakati wa kujenga;

Mhubiri 3