Mhubiri 4:1 Biblia Habari Njema (BHN)

Kisha nikaona udhalimu wote unaofanyika duniani. Watu wanaokandamizwa hulia machozi, lakini hakuna yeyote anayewafariji. Wakandamizaji wao wana nguvu, ndiyo sababu hakuna wa kuwafariji.

Mhubiri 4

Mhubiri 4:1-6