11. Kwa msaada wangu mimi Hekima siku zako zitaongezwa;utaongezewa miaka mingi maishani mwako.
12. Kama una hekima, itakufaa wewe mwenyewe;kama ukiidharau, mwenyewe utapata hasara.
13. Mwanamke mpumbavu ana kelele,hajui kitu wala hana haya.
14. Hukaa kitako mlangoni mwa nyumba yake,huweka kiti chake mahali pa juu mjini,