1. Hekima amejenga nyumba yake,nyumba yenye nguzo saba.
2. Amechinja wanyama wa karamu,divai yake ameitayarisha,ametandika meza yake.
3. Amewatuma watumishi wake wa kike mjini,waite watu kutoka kwenye vilele vya miinuko:
4. “Yeyote aliye mjinga na aje hapa!”Na yeyote aliye mpumbavu humwambia: