Mathayo 25:21 Biblia Habari Njema (BHN)

Bwana wake akamwambia, ‘Vema, mtumishi mwema na mwaminifu. Umekuwa mwaminifu katika mambo madogo, nitakukabidhi makubwa. Njoo ufurahi pamoja na bwana wako.’

Mathayo 25

Mathayo 25:16-30