Mathayo 25:20 Biblia Habari Njema (BHN)

Mtumishi aliyekabidhiwa fedha talanta tano akaja amechukua talanta tano faida, akamwambia, ‘Bwana, ulinikabidhi talanta tano, hapa pana talanta tano zaidi faida niliyopata.’

Mathayo 25

Mathayo 25:13-26