Mathayo 18:9 Biblia Habari Njema (BHN)

Na jicho lako likikukosesha, lingoe na kulitupa mbali nawe. Afadhali kwako kuingia katika uhai ukiwa chongo, kuliko kutupwa katika moto wa Jehanamu ukiwa na macho yako yote mawili.

Mathayo 18

Mathayo 18:2-13