Mathayo 18:8 Biblia Habari Njema (BHN)

“Kama mkono au mguu wako ukikukosesha, ukate na kuutupa mbali nawe. Afadhali kwako kuingia katika uhai bila mkono au mguu, kuliko kutupwa katika moto wa milele ukiwa na mikono miwili na miguu yako miwili.

Mathayo 18

Mathayo 18:3-17