Mathayo 15:23 Biblia Habari Njema (BHN)

Lakini Yesu hakumjibu neno. Basi, wanafunzi wake wakamwendea, wakamwambia, “Mwambie aende zake kwa maana anatufuatafuata akipiga kelele.”

Mathayo 15

Mathayo 15:19-27