Mathayo 15:22 Biblia Habari Njema (BHN)

Basi, mama mmoja Mkanaani wa nchi hiyo alimjia, akapaza sauti: “Bwana, Mwana wa Daudi, nionee huruma! Binti yangu anasumbuliwa na pepo.”

Mathayo 15

Mathayo 15:18-29