Mathayo 13:44 Biblia Habari Njema (BHN)

“Ufalme wa mbinguni unafanana na hazina iliyofichika shambani. Mtu mmoja aliigundua, akaificha tena. Alifurahi sana hata akaenda kuuza yote aliyokuwa nayo, akalinunua shamba lile.

Mathayo 13

Mathayo 13:42-45